Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania

TIRA Logo
Majukumu Yetu
  • Kusajili na kutoa leseni kwa watoa huduma za bima;
  • Kuandaa na kutoa Kanuni na Miongozo mbalimbali ya kusimamia soko la Bima;
  • Kutoa elimu ya bima kwa Umma;
  • Kulinda haki za mteja wa Bima;
  • Kuendeleza, kusimamia uhimilivu na uendelevu wa soko la Bima;
  • Kushauri Serikali kuhusu mambo ya Bima