Majukumu Yetu
                                
                                
                                
                                
                                
                            
 
                        - Kusajili na kutoa leseni kwa watoa huduma za bima;
 - Kuandaa na kutoa Kanuni na Miongozo mbalimbali ya kusimamia soko la Bima;
 - Kutoa elimu ya bima kwa Umma;
 - Kulinda haki za mteja wa Bima;
 - Kuendeleza, kusimamia uhimilivu na uendelevu wa soko la Bima;
 - Kushauri Serikali kuhusu mambo ya Bima
 
            