Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania

TIRA Logo
TIRA na JKCI wakutana: Sekta ya bima kuchangia watoto wenye matatizo ya moyo
23 Feb, 2026
TIRA na JKCI wakutana: Sekta ya bima kuchangia watoto wenye matatizo ya moyo

Leo Februari 23, 2026 Kamati inayohusika na kukusanya fedha za michango kwa ajili ya watoto wanaohitaji matibabu ya upasuaji wa moyo kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imekutana na Kamishna wa Bima Dkt. Baghayo Saqware katika Ofisi ndogo ya TIRA Dar es Salaam lengo likiwa ni kushirikisha TIRA na wadau wa bima katika kuchangia watoto wenye matatizo ya moyo.

TIRA KWA SOKO SALAMA LA BIMA