Kamishna wa Bima Tanzania afanya ziara mkoani mwanza; uhamasishaji wa bima
                                
                                
                                
                                
                                
                            
                        
                                
                                     
                                    03 Mar, 2025
                                
                            
                         
                            Kamishna wa Bima Tanzania, Dkt. Baghayo Saqware na ujumbe wamekutana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Bw. Said Mtanda na Katibu Tawala wa mkoa huo, Bw. Balandya Elikana wakati wa ziara ya kutoa elimu ya bima leo Machi 3, 2025.
Ziara hio imelenga kuhamasisha wakuu wa mikoa, makatibu tawala na watumishi wa umma kuhusu umuhimu wa bima, kuwahamasisha watumishi wa umma kuhusu fursa za kuwekeza zilizopo katika sekta ya bima na utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote.
 
            