IASIU Launching and Annual Conference in collaboration with TIRA
14 May, 2025
8:00 AM - 17: 00PM
PAPU TOWER, ARUSHA TANZANIA
mweni.almas@tira.go.tz, anna.massao@tira.go.tz
IASIU Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) wameandaa mkutano mkubwa wenye lengo la kujadili Udanganyifu katika bima na namna ya kukabiliana nao, ili kuwa na mazingira wezeshi kwa watoa huduma lakini pia kulinda haki za wateja wa bima.
Mkutano huu utawakutanisha wadau mbalimbali taasisi za Serikali na binafsi, vyombo vya usalama na wadau mbalimbali katika sekta ya bima na fedha kwa ujumla.
