Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania

TIRA Logo
Kazi iendelee: Kamishna wa Bima Tanzania akutana na viongozi TIBA
10 Jun, 2025
Kazi iendelee: Kamishna wa Bima Tanzania akutana na viongozi TIBA

Kamishna wa Bima Tanzania Dkt. Baghayo Saqware alikutana na viongozi wa TIBA hapo jana Juni 09 2025, katika Ofisi ndogo za makao makuu ya TIRA jijini Dar es Salaam.

Lengo likiwa kukutana na viongozi wapya wa chama hicho lakini pia kujadili masuala mbalimbali katika sekta na Washauri hao wa bima.